Karibuni kwa maoni na ushauri, namna gani ambavyo Afrika tunaweza kujiendeleza kiuchumi bila kutegemea hao wanaojiita ni marafiki zetu kumbe kiuhalisia wamekuwa ndio chanzo kikubwa cha kutokuendelea kwetu. ili huu ujumbe uwe chachu ya maendeleo ya waafrika wa leo na wajao, kwa maana tusipoamka...
Kwanini unalala bado? Kwanini unalikumbatia shuka bado? Kumekwisha kucha, jua limekwisha chomoza. Amka sasa eeh mama Afrika maana majukumu yako ni mengi. Watoto wako wanalia njaa zinawauma, wanalia majirani zao wanawaonea, kwanini usiamke uwafariji wana wako...
Ama kweli unanipenda sana, ama kweli unaniwaza sana, ama kweli unanitafuta sana lakini unawaza mbona hunipati? Nimeamua kutoka mafichoni unapo nitafuta nikujie kwa maana kiu yako ni kubwa sana.
Baada ya kuona jitihada zako, leo nimependa nikueleze ukweli wote kwa maana unanipeda sana. Unapenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.