Recent content by jakaeama

  1. J

    Nisaidieni, Akili yangu ipo kama imefungwa

    naomba unisaidie,we ulifanyeje?@ontario
  2. J

    Nisaidieni, Akili yangu ipo kama imefungwa

    nipo cha tano! mvulana npo bWen
  3. J

    Nisaidieni, Akili yangu ipo kama imefungwa

    Ni kuhusu masomo yangu! Nimejawa na hofu inayonifanya niishi bila raha yaani natetemeka kila wakati,moyo unauma na wakati mwingine nashindwa kupumua vizuri! Hofu yenyewe inanifanya ninachokisoma sikielewi yani nashika daftari tu huku naliangalia,mawazo mengi ya kufeli huko mbeleni yanakuja...
  4. J

    Msaada;jinsi ya kuondoa hofu na kujiamini

    nawashukuruni nyote@young teacher@mshua na wengine wote maana ushauri wenu umenifungua kiasi fulani
  5. J

    Msaada;jinsi ya kuondoa hofu na kujiamini

    Msaada tafadhari,mi ni mwanafunzi nahitaji nijiamini katika masomo yangu ili nifanye vizuri mara nyingi huwa najawa na hofu na kujiona nishafeli ninapomuona mtu kasoma topic ambayo mi sijasoma hofu hii huwa nipo nayo muda wote na muda mwingi huwa nafikiria tu nashindwa hata kuchukua hatua na...
  6. J

    Kwa mwenye joining instruction ya songea boys

    jamani wana jf mimi mpaka sasa sijapata joining instruction ya shule ninayoenda(songea boys) naombeni mwenye joining instruction yake anisaidie au mwenye link ya joining instruction ya hii shule anisaidie
  7. J

    kwa wenye notice/maswali ya PCB

    jamani wana jf,tunawashukuru wale wote ambao kwa wakati wote wamekua wakitupa ushauri mzuri kuhusiana na masomo japo si wote tafadhari msituchoke, naomba mtu yeyote mwenye notes za pcb pamoja na maswali atusaidie kama anayo basi atuandikie link HAPA tuyadownload na kuyaona ili tuyatumie...
  8. J

    Ushauri:nifanyeje ili nifaulu vizuri pcb?

    Jamani ninawashukuru kwa ushauri wenu na mungu awabarikini sana msichoke kutoa ushauri tunapouhitaji endeleeni... gd evn
  9. J

    Ushauri:nifanyeje ili nifaulu vizuri pcb?

    thax sana! nahitaji ushauri zaidi
Back
Top Bottom