Hakika matokeo ya weekend hii ya time kubwa ni vilio vitupu. Nashauri afisa yeyote asifanye rebet kama mkeka umechanika. Tuiache leo na kesho ipite.
Tijipange kwa wekeend ijayo.
Hizi kampuni za mifukoni ni utapeli mtupu, hadi benki za Tz zimejiunga direct na kampuni za betting. Kuna mjinga aja hapa kupromote kampuni ambazo haziruhusu direct deposit. Ni utapeli tu
2025 kama unafanya deposit ya stake kupitia kwa agent wewe pia utakuwa na mjinga, kwa sababu unaisaidia kampuni husika kukwepa kodi na mkono wa serikali.
Mbona kampuni zote umetaja ni tia maji tu. Dunia ya sasa ukiruhusu 3rd party kwa vitu ambavyo wenhine wengi wamemuondoa 3rd party basi wewe ndiyo unakuwa mjinga. Na siku ukitapeliwa usilalamike.
Pia nitoe tahadhari kama kuna watu wanatumia kampuni ya sportybet wacheze kwa tahadhari, hususani ile mikeka ya kula pesa ndefu.
Wamelalamikiwa nchi zingine kufuta mikeka na kuwasumbua washindi wakubwa kwenye ulipaji.
Angalau basi tuwe tunaweka matarajio ya matokeo ya mechi husika, na kuomba mawazo ya maafisa wengine pia. Zamani kwenye huu uzi ilikuwa inaleta mjadala na kutoka na chaguo la matokeo ya mechi ambalo ni bora zaidi.
Hata mechi za PSV na Ajax ambazo machaguo yangu pendwa huwa ni over 2.5 goals, wikendi hii nimeishia wapa wote over 1.5 goals kwa sababu ya muenendo wa matokeo ya mechi zao za karibuni.
Pia lazima uweke angalizo pia kulingana na mpinzani wa timu zako pendwa. Mfano mimi chaguo langu pendwa kwa EPL na La liga huwa ni wins kwa big teams, ila wikendi hii wapinzani wao ni tishio pia, nimeishia wapa GG - yes.
Zile posible options zako za kila siku kwa hizo timu hutokea kweli kwa hizi siku.
Kama PSV kila mara unampa over 2.5 goals anachana, nasi kwa hizi siku ndiyo kweli huishia over 2.5 goals.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.