Recent content by Jacob kalokola

  1. Jacob kalokola

    JamiiForums Tanzania Trump ampa Putin siku 12 Urusi kuonyesha muelekeo wa kumaliza vita Ukraine la sivyo aishughulikie

    Akimpa Makombora kulenga Moscow itakuwa Ww3 sababu na yeye atashambuliwa.
  2. Jacob kalokola

    JamiiForums Tanzania Trump ampa Putin siku 12 Urusi kuonyesha muelekeo wa kumaliza vita Ukraine la sivyo aishughulikie

    Hana la kufanya zaidi ya kuwawekea vikwazo Mataifa yanayonunua Mafuta na Gas. Au kuwawekea Tarrif mpaka 50%
  3. Jacob kalokola

    JamiiForums Tanzania Trump asema makombora ya Patriot tayari yametumwa Ukraine

    Mwandishi hizo Patriots Hazina mashiko kabisa! Urusi alitangaza 19/07 atarusha drones 2,000 Kwa Siku na Tarehe 22/7 ameonyesha kiwanda Cha drones, Wanachuo mfano, (Veta Kwa Tanzania) wanafanya practical maabara. Humo zimo Decoys na Susaid drones, e.g, zikirushwa 2000 basi 1,000 ni fake au...
  4. Jacob kalokola

    JamiiForums Tanzania Ujerumani inajiandaa na WWIII? Taarifa zilizovuja zaonesha kuwa inaandaa wanajeshi 800,000 kwa ajili ya kupambana na Urusi

    Subiria atakapo ishambulia Ulaya na USA ataingilia hii Vita. What will be the results? Germany, Poland, zitakuwa annexed by Russia. Na hapo ndipo Africa tutaheshimika sababu tuta supply chakula.
  5. Jacob kalokola

    JamiiForums Tanzania Irani hakutumia Ndege vita Wala wanajeshi kuenda kuenda kuichapa Israel

    China, Urusi, Iran wanaamini sana Makombora kuliko NDEGE Vita. Ila Magharibi yote wanaamini NDEGE Vita ndio njia Bora.. Mataifa hayo 3 Wana Idadi kubwa sana ya Makombora ya masafa marefu na mafupi. Let say, Urusi anaweza ipoga Kampara Uganda akiwa kwake. But USA mpaka afanye mobilization ya...
  6. Jacob kalokola

    JamiiForums Tanzania Urusi yaendelea kuchukua udhibiti wa maeneo ya Ukraine

    Marekani na wenzake hawana ubavu wa kuipush Russia TOKA maeneo ya madini
  7. Jacob kalokola

    JamiiForums Tanzania Rais wa Ukraine Volodmyr Zelensky amtabiria kifo Putin na kuapa kwamba huo ndo utakuwa mwisho wake

    Bogus president! Ameshindwa kujua kuwa Putin ana ubinadamu Sana! Akija Medvedev ataichoma Ukraine yote, Kyive utakuwa na mwonekano wa Jiji la Gronze pale Chechnya 1992. Pia atawindwa kuawawa na Watu wake wa karibu watapewa sumu.
  8. Jacob kalokola

    JamiiForums Tanzania Zelensky: Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi umempigia mtu magoti

    Ukipigana vita na super power anakudhoofisha. Kisha anakunya ganya malighafi zote
  9. Jacob kalokola

    JamiiForums Tanzania Tujifunze kupitia Zelenskyy na vita ya Ukraine

    Hana utamaduni wa kujisomea vitabu
  10. Jacob kalokola

    JamiiForums Tanzania Tujifunze kupitia Zelenskyy na vita ya Ukraine

    Medvedev kichaa kabisa angewadhaliisha.
  11. Jacob kalokola

    JamiiForums Tanzania Tujifunze kupitia Zelenskyy na vita ya Ukraine

    Umesahau Iraq
Back
Top Bottom