Sisi wananchi wa eneo la Kizimkazi wilaya ya Bagamoyo kata ya Mapinga mkoa wa Pwani kero yetu ni namna ambavyo kamanda wa polisi mkoa wa Pwani anapenda kutuingilia kwenye eneo ambalo sisi na Muhindi Simba Motors tuna kesi nalo mahakama kuu.
Pamoja na kesi hii kuwa mahakamani polisi wamekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.