Hebu tujaribu tuanzishe vyuo vingi vya ufundi kwa vitendo ambavyo udahili wake wa kujiunga ni kwa mtu yeyote aliyemaliza elimu ya shule ya msingi bila kujali anajua kusoma au hajui kusoma. Leo hii tumekusanya watoto wasiojua kusoma wala kuandika na kuwajaza kwenye shule za sekondari za kata...
Lazima wewe ni kawambwa au umetumwa na kawambwa, chanzo kikuu cha kufeli kwa wanafunzi ni kawambwa si Ndalichako, kumbuka majibu ya katibu wa chama cha walimu aliposema hili ndo jibu kwa serikali kupuuza madai ya walimu.
Siamini kama kuna walimu huko mashuleni, hebu serikali ijaribu kuendesha shule zake kama shule binafsi zenye malengo mazuri wafanyavyo, kila mwaka mtoto avuke kidato kwa point fulani, mfano mtoto asipofikisha wastani wa 30 asivuke kidato. hii itawafanya watoto wajitume kusoma kwa kuhofia aibu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.