Anzisha biashara ila kuwa Makini kwenye sehemu mbili
1. Kujali wateja wako maan hao ndyo biashara inyewe usizarau mteja
2. Punguza matumizi yasio na lazima nikiwa na maana ya kuwa.....-yaani ishi kma ulivyokiishi zamani usikuze maitaji kutokana na biashara yako kwenye matumizi ya kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.