Recent content by jackhan

  1. J

    Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

    🤦‍♀️🤦‍♀️
  2. J

    Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

    Yhn mwanamke akiomba kila kitumnachoka akianza kupata vimiambili na nyie ndio mnaweka miguu juu mnajisahau
  3. J

    Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

    😂😂😂😂kama mazuri
  4. J

    Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

    Yalianza baada ya mahali
  5. J

    Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

    Inaweza ikawa ni sawa lkn sio sawa pia kwasababu hata iyo 50 ya mwanamke bado anaipambania majukumu anayafanya yote kama mwanamke mi naona ni akili tu bweteka kwasababu uhakika wa kuishi upo
  6. J

    Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

    Mi ninachojua kazi kubwa ya mwanaume ni kumpenda mkewe na kuhudumia ndio vitu pia vinavyoonesha upendo au kuna namna nyingine mimi sijui unielekeze?
  7. J

    Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

    Kwani kila anae leta mada humu lazima zimuhusu yeye
  8. J

    Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

    Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya. Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia...
  9. J

    Nataka kuoa mke wa pili

    Nimeoa na nina mtoto na dini yangu inaniruhusu kuoa mke mwingine kuna mwanamke nampenda sana niliwah kuwa nae kwenye mahusiano zamani ila nae alisha olewaga akapata na mtoto ila wakashindwana na mwenzie kwaiyo sasa yupo tu nataka kumuoa na uwezo wa kuwahudumia wote ninao
Back
Top Bottom