Recent content by jacket

  1. jacket

    Nahitaji soko zuri la Nazi

    Njoo tuelewane mkuu hatutashindwana!
  2. jacket

    Nahitaji soko zuri la Nazi

    Wadau naomba kufahamu nalipateje soko zuri la nazi. Kiufupi Nina nazi zaidi ya 20,000 natafuta soko lake. Nazi ni Bora kutoka Ng’apa Mkoani Lindi. Mwenye uzoefu na zao hili tafadhali.
  3. jacket

    Msaada kwa watalamu wa kuagiza magari na kodi zake

    Thanks Shaka...kumbe huu mkoko hadi uingie hapa mjini utakuwa ushanifilisi saaana!!!!! Mie nilidhani kodi haitazidi bei niliyonunulia yaani CIF!
  4. jacket

    Msaada kwa watalamu wa kuagiza magari na kodi zake

    Mkuu nina calculator inayoweza kukupa makadirio ya kodi utakazolipa ila tatizo nimejaribu kuweka hapa naambiwa file type is not allowed. It is an excel file so if you are still interested let me know nikutumie kwa e-mail. Thanks mkuu tatito hesabu zilinipita pembeni hiyo kitu ipo kwenye website...
  5. jacket

    Msaada kwa watalamu wa kuagiza magari na kodi zake

    Please wenye ujuzi wa uingizaji magari used toka Japan naomba msaada wenu......gharama za uingizaji tanzania huwa ngapi(approximate).....(mpaka gari linakuwa barabarani)??? mf. CIF+INSPECTION COST=2350 USD>>>>Hii ni kwa gari aina ya Ford-Fiesta la mwaka 2004, cc 1600. Natanguliza shukurani zenu!!!
Back
Top Bottom