Recent content by Jaber2024

  1. J

    JamiiForums Tanzania SoC04 Programu ya SANIFU, mkombozi wa lugha ya Kiswahili

    Utangulizi Lugha ya Kiswahili ni moja kati ya lugha zinazokua kwa kasi ndani na nje ya bara la Afrika. Mpaka sasa, takribani nchi zaidi ya kumi zinatumia Kiswahili barani Afrika kama lugha ya kwanza au ya pili, huku mwamko wa matumizi ya lugha hii ukiwa mkubwa sana. Kwa mujibu wa mtandao wa...
  2. J

    JamiiForums Tanzania SoC04 Sheria ya kujiua ina ufa, ijengwe tena upya

    Utangulizi Kujiua au kujaribu kujiua ni kitendo cha mtu kusababisha au kujaribu kusababisha kifo chake mwenyewe kwa makusudi kwa njia mbalimbali. Mara nyingi chanzo huwa ni matatizo ya kihisia, kisaikolojia, maradhi ya akili, changamoto za maisha na matatizo mengine makubwa yanayoweza kuathiri...
Back
Top Bottom