Recent content by Jabakeke

  1. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Mtoto hajawahi kukosa matunzo Mkuu ,na kuhusu suala la mtoto kukaa mbali nasi ni maamuzi ya wazazi wake.
  2. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Kama sio single mama ila alishatoa mimba tatu za wanaume watatu tofauti,au hajawahi kushika mimba ila keshatembea na wanaume zaidi ya kumi je huyo ni mke wa mume mmoja au wengi?
  3. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Hakuna alichoshindwa isipokuwa sio msikivu ninayetaka kushindwa ni mimi,wewe utaweza tu kwasababu ni msikivu ,au nawewe utakuwa unawasiliana na mzazi mwenzako? Hakuna mwanaume atakayekubali mkewe awe anawasiliana na mzazi mwenzake hata kama ana uhakika hawawezi kupasha,hata kama ana uhakika huyu...
  4. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Huyu lazima atemwe tu sina namna.
  5. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Sina shaka utanituliza
  6. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Nitakupata wewe chondechonde usije nikataa.
  7. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Atakuwa nao watatu kila mtoto na baba yake,ana hasira huyo.
  8. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Asante Mkuu,ila wanaochapiwa sio waliooa single mother tu liweke akilini hilo
  9. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Kama aliambiwa hivyo na wifi yake,alitakiwa arudi kwangu tushauriane cha kufanya , kwasababu nilishamwambia staki uwasiliane na mzazi mwenzako Moja Kwa moja nenda Kwa wifi yako, kufanya tofauti na makubaliano yetu ni usaliti.
  10. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Sikukutuma uchapwe mimba kabla hujaolewa,hasira zako hukohuko kwa aliyekutundika mimba na kuingia mitini.
  11. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Wanaouana walivuka hapo
  12. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Nanyinyi semeni si haki sawa,au mmezuiwa?
  13. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Mkuu nani kakwambia nimemuacha?
  14. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    Kumbe una akili timamu ila ukiamua unajitoa ufahamu,kosa langu kuu ni hilo kuoa single mother,lakini nimeshakwambia huyu mke wangu alikuwa na mumewe ambaye ni marehemu,nilimuoa nikijua ni mjane mwenye mtoto mmoja ila sikujua kama huyu mtoto si wa marehemu ni wa mwanaume mwingine ambaye alizaa...
  15. Jabakeke

    Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

    [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Back
Top Bottom