Habar za mida hii wana JF, ukiachilia mbali chuo cha UDSM ambacho tayari kimeshatoa pesa za wanufaika wa mikopo, kwa yeyote anaefahamu ni lini pesa za wanufaika wa miokopo zitatolewa maana maisha yanazidi kuwa magumu siku baada ya siku hapa chuoni. [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27]
Habari zenu wakuu, kuna swali lanitatiza nina mdogo wangu kamaliza certificate ya ualimu mwaka huu ila nasikia eti walimu wote wa msingi wanatakiwa wawe na dipolma, je kuna ukweli wowote juu ya suala hili? Msaad wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.