Natafuta kazi yoyote iliyo halalishwa na serikali yetu
Kwa majina naitwa JOHN E BENDERA
Ni kijana mwenye umri wa miaka 23 kwa sasa.
Ni mchezaji wa mpira pia, ligi daraja la pili Tanzania.
Ndoto zangu kubwa niliziwekeza katika mpira, lakini naamini mnajua mpira wetu apa nchini, si lazima...
Kifaransa icho kaka
Lugha ya alama unaweza ukaisoma tu, licha ya kuwa utaihisi kuna mapungufu kwenye uhandishi ila ndo jinsi inavyozungumzwa.
Naomba labda unaweza kunipa connection na watu wanaoitaji taaluma zangu, au kazi yoyote tu.
Habari za leo,
Naitwa John bendera, mkazi wa kigoma ila kwa sasa nipo mkoani Singida.
Ni kijana mwenye umri wa miaka 22
Ninataguta kazi yoyote ila iwe halali tu
Elimu: Sijafanikiwa kufika mbali sana, nina elimu ya kidato cha nne.
Ila nina uwezo pia wa kutumia Computer, na baadhi ya programs...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.