Wapendwa wana Jamvi,
Sisi ni mabingwa wale wale wa kuuza viwanja, na mashamba.
Viwanja na mashamba tunayo miliki wenyewe..hivyo biashara yetu haijawahi kuwa ya ubabaishaji (Mashahidi wapo humu humu jamvini.
Wasiliana nasi Kwa viwanjia na mashamba maeneo ya Bagamoyo,
Keregete -CCM , Mbenzi...
NYUMBA YA GHOROFA INAYOSUBIRIA KUPAULIWA TU! INAUZWA -*
( MADALE NJIA PANDA YA NGUZO MTAA WA NYUMA YA KITUO CHA POLISI MADALE)
Ni nyumba yenye eneo kubwa na mchoro wa kisasa kabisa"( Jumla ya vyumba 5)
BEI ELEEZI NI 120M (million 120 za kitanzania) "Ila mazungumzo ya kina yapo..Karibu...
Samahani wadau,nadhani sikuwa nimetulia wakati napost( na nilikuwa busy kidogo sikugundua mapema..
Being elekezi ni 120M, lakini mazingumzo ya kina yapo..
Karibu tuyajenge..
*NYUMBA YA GHOROFA INAYOSUBIRIA KUPAULIWA TU! INAUZWA -
(MADALE NJIA PANDA YA NGUZO MTAA WA NYUMA YA KITUO CHA POLISI MADALE)
Ni nyumba yenye eneo kubwa na mchoro wa kisasa kabisa"( Jumla ya vyumba 5)
Specifications za nyumba:*
➡️ENEO NI 1205sqm
➡️ Half fenced
Ground floor
➡️Master...
Karibu tukuuzie nyumba ya Kisasa kabisaaa
Nyumba ipo maeneo ya pangaboy Kama unaenda Mpobo.
Unaweza kupitia barabara ya Mbopo inayotokea Mkoroshini, au kupitia barabara ya Mbopo kutokea madale mwisho.
BEI no Million 65 ( ila maongeza yapo )
Ukihitaji picha zaidi na maelezo ya ziada...
Karibu wapendwa tujenge taifa pamoja.
Tuna viwanja vizuri Sana Msumi mwisho.
Vimekaa vizuri Kama unavyoona kwenye picha.
BEI yake ni rafiki kiwanja Cha 20X20 ni milion 10..ILA maongezi yapo( Desturi yetu watanzania lazima tuongee na tuelewane.)
Kwa wenye kuhitaji mawasiliano - Direct...
Plots nzuri kabisa Mbezi mwisho (1.5Km ) Kutoka KITUO kikuuu Cha mabasi Cha Magufuli (Magufuli bus Stand).
Karibu tujenge taifa pamoja.
Mawasiliano +255784355775 - Mr MBUNGI.
Pia Kama unaelekea scout..
Kwa usahihi kabisa " Ukifika shule ya Nyakasangwe unaenda na barabara inayoingia kushoto(Kama umetokea Madale-flamingo ,hata kabla ya Msigani- center hata kabla ya kwa Matias..
Kwa Matias ova"
I'm much available on WhatsApp and direct call( kwa yeyote ambaye yupo interested ana anataka kujibiwa haraka
Anitafute kwa simu " +255784355775)
Humu kuna wakati nakuwa busy...napitia usiku nikiwa nyumbani"
NATANGULIZA SHUKRANI!
Hizi ni plot mpya kabisa katika eneo la Msigani- nyakasangwe( yote hii ilikuwa madale kabla haijagawanywa hivi karibuni).
Hivi tunauza kwa sqm moja elf30,000/ unaweza kununua eneo dogo, au kubwa upendavyo kulingana uwezo wa mfuko wako.
Karibu tuijenge nchi pamoja.
Mawasiliano +255784355775 -...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.