Nauza kitanda chuma 5X6 kwa Bei rahisi kabisa 120,000/ bad kipya kimetumika miezi4 tu!( Kimsingi hiyo elf20 itakuwa nauli ya kukuletea ulipo,hivyo (naamini kwa maeneo ya mbeZi,tegeta,goba au bunju hiyo nauli itosha kukifikisha ,ili adhima ya kupata laki1 nayohitaji itimie)!.
Kipo Madale Mwisho...
Ahsante,, nayo Ni pesa! Lakini ujue Nina dharura inayohitaji mtu wa kunisaidia( nikaona Bora niuZe hivi vitu badala ya kuomba msaada...thamani ya hivyo vitu na pesa unayonipa nadhani binasfi unajisikia moyoni kuwa siyo sawa! Na hapa natafuta msaada ,naomba unielewe ndugu yangu( dharura Ni kwa...
Jiko ni jipya nimelitumia mizi2 tu.. na mtungi una gesi kidogo ya kuanzia.
Ni dharura (nasafri mkoani kwa dharura) naomba elf70 tu! Kama upo serious hata ukipungukiwa kidogo ilimradi initoshe nauli nayohitaji!
Whatsapp/piga 0784355775 - nipo MADALE MWISHO- DAR ES SALAAM)
Jiko ni jipya nimelitumia mizi2 tu.. na mtungi una gesi kidogo ya kuanzia.
Ni dharura (nasafri mkoani kwa dharura) naomba elf70 tu! Kama upo serious hata ukipungukiwa kidogo ilimradi initoshe nauli nayohitaji!
Whatsapp/piga 0685308583 - nipo MADALE MWISHO- DAR ES SALAAM)
Wapendwa wana Jamvi,
Sisi ni mabingwa wale wale wa kuuza viwanja, na mashamba.
Viwanja na mashamba tunayo miliki wenyewe..hivyo biashara yetu haijawahi kuwa ya ubabaishaji (Mashahidi wapo humu humu jamvini.
Wasiliana nasi Kwa viwanjia na mashamba maeneo ya Bagamoyo,
Keregete -CCM , Mbenzi...
NYUMBA YA GHOROFA INAYOSUBIRIA KUPAULIWA TU! INAUZWA -*
( MADALE NJIA PANDA YA NGUZO MTAA WA NYUMA YA KITUO CHA POLISI MADALE)
Ni nyumba yenye eneo kubwa na mchoro wa kisasa kabisa"( Jumla ya vyumba 5)
BEI ELEEZI NI 120M (million 120 za kitanzania) "Ila mazungumzo ya kina yapo..Karibu...
Samahani wadau,nadhani sikuwa nimetulia wakati napost( na nilikuwa busy kidogo sikugundua mapema..
Being elekezi ni 120M, lakini mazingumzo ya kina yapo..
Karibu tuyajenge..
*NYUMBA YA GHOROFA INAYOSUBIRIA KUPAULIWA TU! INAUZWA -
(MADALE NJIA PANDA YA NGUZO MTAA WA NYUMA YA KITUO CHA POLISI MADALE)
Ni nyumba yenye eneo kubwa na mchoro wa kisasa kabisa"( Jumla ya vyumba 5)
Specifications za nyumba:*
➡️ENEO NI 1205sqm
➡️ Half fenced
Ground floor
➡️Master...
Karibu tukuuzie nyumba ya Kisasa kabisaaa
Nyumba ipo maeneo ya pangaboy Kama unaenda Mpobo.
Unaweza kupitia barabara ya Mbopo inayotokea Mkoroshini, au kupitia barabara ya Mbopo kutokea madale mwisho.
BEI no Million 65 ( ila maongeza yapo )
Ukihitaji picha zaidi na maelezo ya ziada...
Karibu wapendwa tujenge taifa pamoja.
Tuna viwanja vizuri Sana Msumi mwisho.
Vimekaa vizuri Kama unavyoona kwenye picha.
BEI yake ni rafiki kiwanja Cha 20X20 ni milion 10..ILA maongezi yapo( Desturi yetu watanzania lazima tuongee na tuelewane.)
Kwa wenye kuhitaji mawasiliano - Direct...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.