Recent content by Izrael k Adam

  1. Izrael k Adam

    Naombeni ushauri msichana wa kizungu tuliye kutana nae mtandaoni ananipenda na anataka taarifa zangu kama namba lakini naogopa nifanyaje?

    Habari zenu wadau Wadau naomba mnishauri kitu kimoja nina mwanamke ambae tumezoeana sana yeye ni mzungu wa anaishi Marekani baada yakuzoeana kunawakati sasa ananisumbua anataka tubadilishane namba za simu na anataka siku moja aje Tanzania maana anasema nisehemu mzuri ya kitalii. Sasa tatizo...
  2. Izrael k Adam

    Mwanamke asiye jirekebisha utaishi naye vipi?

    Dah!! Sister nimekuelewa haswa kwenye swala la kujiamini yaani unakuta akianza kukuropokea haogopi lolote kwani anajua kabisa anakutia hasira lakini anafanya tu na mm so boya huwa namkaza makofi nikichukia sasa akishajua amepigika ataria kwa kiburi atashusha pumzi hovyo kama mwenye presha adi...
  3. Izrael k Adam

    Mwanamke asiye jirekebisha utaishi naye vipi?

    Hivi ukimvumilia mpenzi wako madhaifu yke lakini akawa harekebishiki ukiongea ukimuelekeza anakubali kutii hawezi mkigombana anakuja juu na anakiburi anakuwa naroho yakutaka kukucontroll. Utafanyaje wadau na unakuta unampenda sana kumuacha inaumiza ukifikiria kufanya hivyo pia naombeni...
  4. Izrael k Adam

    Baada ya kutengana miaka nane (8), juzi kanitafuta

    Hahahaaaaa! Dah ila wanawake jamani na kwaupande wangu naunga mkono hili mwanamke kama mlikuwa mmetengana tena kwa mabaya katu usiruhusu uwe naee tRNA kwenye maisha yko hususani kama huenda alikufanyia kiburi akawa hakupi furaha Kawaida sisi wanaume huwa tunahitaji jamani amani sasa amani...
Back
Top Bottom