Recent content by Izidory anatory

  1. I

    Panya Road wavamia maeneo ya Magomeni, Mwananyamala na Kinondoni jijini Dar

    ndugu zangu wananchi wa maeneo ambayo mmevamiwa na kikundi cha panya road na mungu awaepushe na kadhia hii
  2. I

    Lowassa adaiwa kuifadhili ACT-Tanzania; yeye, ACT wakanusha

    Waanchen waendelee kutapa tapa lakn chadema n chama chenye malengo na akiendeshwi kwa mbwembwe na mipango bubu kama vyama vingine vya siasa
  3. I

    Kagame adaiwa kupandikiza makachero nchini kuipeleleza Serikali… mbunge atajwa kuhusika!

    Kiukweli jambo hili nilakusikitisha sana kuna nipo kwa namna gain mtu anaweza kuingia kwenye nchi ya kiongozi mwenzie na kufanya anavyotaka eye, kama kunataarifa zinazodhiirisha ukweli wa mambo haya kwann selikari isichukue hatua zap haraka ili kuinusuru nchii kutoka kwenye madhara...
  4. I

    KUFURU: Posho Bunge la Katiba ni sh 700,000 kwa siku!

    Me nawaambien wanaendelea kugawana nchi kwa kuichanachana katika vipande viidogovidogo, hapo c dhan kama kuna mtu atakaye pinga kuongezwa kwa siku 20 nyingine ili kitita kiongezeke
  5. I

    Matokeo ya Uchaguzi wa Udiwani Feb 09, 2014: CCM yaibuka kidedea!

    Me nawaambia endeleeni kuishabikia ccm lakin 2015 c mbali sana hatuwezi kuandikia mate na wino ungalipo...... Dawa yenu tunayo
  6. I

    Lema akamatwa na Polisi na kuachiwa leo hii

    Kama katenda kosa there is no way to escape from punishment. Lakini kama kosa lenyewe halitambuliki, bali kakamatwa kwa nguvu ya chama fulani basi itakuwa ni ukukwaji wa sheria. Kwan hatuna budi kufaham kwamba " a true man will alwayse be hurted by people, because truth is universal and un...
Back
Top Bottom