Recent content by iwebojo

  1. I

    Baada ya hotuba za Slaa na Lipumba: Napata hofu juu ya uwezo wa akili wa vijana wetu

    Na raha ya siasa lazima uwe mchafu kidogo,ukiwa msafi huna mvuto nenda kahubiri dini kapeleke watu mbinguni...
  2. I

    Baada ya hotuba za Slaa na Lipumba: Napata hofu juu ya uwezo wa akili wa vijana wetu

    Hatuhitaji kutafakari na ishu kubwa kwenye uchaguzi huu sio kuchagua malaika kwenda Ikulu maana hamna msafi hata wabadilishwe mara mia vyama vyote!Ishu ni CCM lazima ikae pembeni baaaaas....hiyo logic haiitaji cheti chochote hata lofa anaweza...
  3. I

    Shinyanga mjini, wafuasi wa Dr. Slaa wahama CHADEMA

    Ww hujielewi kabisa!unaleta ukabila na ukanda humu?Ss tumeamua ni EL kama mtanzania na mzalendo kipenzi cha waTz full stop!
  4. I

    Jipatie tishet yako ya UKAWA

    Hizo zenye maandishi utakuwa unatafuta ugomvi!ni wazo zuri lkn ujumbe uepuke kuleta dhana itakayotafsirika kama mipasho kiukweli kwanza utakuwa target nzuri ya kula kichapo aidha iwe dola au upande wapili itakapotokea rabsha!Lkn picha za viongozi tu na neno UKAWA hiyo iko poa.Chonde Picha ya Mh...
Back
Top Bottom