Halmashauri gani inayoongozwa na ccm imewahi kuwa ya kwanza katika usafi? Hata Moshi na iringa zikirudi ccm swala la usafi walisahau kabisa, ccm ni wachafu sana
Huyu mama aliwahi kuwa waziri au naibu waziri, yy anatoka kilimanjaro wilaya aliyotoka nakatika wilaya zenye maendeleo duni mkoa wa kilimakiaro, lakini ni katika wilaya zenye maendeleo ya juu sanaukilinganisha na wilaya mikoa ya dodoma, tabora, geita, simiyu na katavi
Wavivu ni waliojenga zahati inagharimu mamilioni ya pesa, wakaacha choo kinachogharimu laki tano tu! Nahisi na ww unanyumba kubwa tu yenye hadhi lakini hujajenga choo, ndo maana unasema serikali imejenga zahanat, imeleta wahudumu lakini hushangai serikali kujenga zahati bila choo
Hata hivyo watu wanaoondoka ni wale waliohamia chadema 2015, na wachache km akina katambi ambaye pia kulikuwa na post hapa zikimtuhumu kuwa anatumiwa na mwenyekiti wa ccm mwanza, vijana na wazee asilia wa chadema bado wapo imara, nafikiri kuna haja ya kuwa na semina kwa vijana ili kuimarisha...
Mkuu kila kifo ni mpango wa Mungu, ndio maana kuna mtu alipigwa risasi za kutosha lakini bado anaishi, aliyepigwa viboko ametangulia mbele ya haki, hivyo kiimani waziri hana makosa, mwalimu hakudhamiria kuua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.