Mwenge wa Uhuru umeleta umaskini kwa nchi yetu watu wanaishi maisha magumu sisi mwenge badala ya hiyo pesa ikuze uchumi Wa nchi na nchi bado inaabudu imani ya kipagani huku wakidanganya watu nchi haina dini lazima tukataze jamii wasiendelee na upuuzi wa zamani
Neno LA Mungu linasema lipo jina moja pekee limalopaswa kuabudiwa na hakuna jina lingine tulilopewa ni la Yesu sasa unamwomba wafu aliyekufa hiyo ni udanganyifu na hakuna Mungu hapoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.