Nilipokua mdogo nilipenda sana nije kuwa mwalim wa shule lakin baada y kufika elimu y sec.ndoto zote ziliharibika kwan ckuchaguliwa kati ya wale waliofaulu,lakini sikukata tamaa nikaanza kujifunza mafunzo ya computer mtaani kwani sikupata pesa ya kwenda kujifunza iyo corse katika vyuo husika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.