Habari doctor Nina tatizo hilo langozi nimenitokea nini siku ya tano japo kabla nilitokewa na vidonda mwilini nitatumia dawa vikakauka Ila baada ya hapo ndio nikatokewa na hii hali hapo panatowa USAA na maji maji pia panawasha sana na mkuu umevimba na sasa hivi naona dalili kwenye mkono
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.