Ni jambo la aibu sana.
na kwanini vyuo vya Tanzania vimekuwa vichache na wao ndio wenyeji? au kulikuwa na vigezo gan!
ktk orodha hiyo sijaona hata chuo kimoja cha mkoani DODOMA. na kwanini UDSM wapeleke vyuo vyote wengine wakose!
sina majibu kwa haya maswali na mishangao hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.