Recent content by Isakhamisi

  1. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hersi atemwa tena ubunge Kongwa, 13 wapita

    Wanataka waendelee wasilipe kodi kabisa
  2. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Ubunge wa CCM: Nimekuta Nati za Matairi ya Gari langu zimefunguliwa tukiwa njiani kwenda kwa Wajumbe

    Wenyewe wanauwana watawaachia wapinzani,no reform no election.
  3. I

    JamiiForums Tanzania Wewe unafikirije juu ya Abbas Tarimba. Unadhani alikuwa timamu kiasi gani alipotamka haya maneno?

    Msameheni. Huyo akili yake iko kwenye makamari tu ,anajipendekeza apate kupitishwa kwenye mchujo wa kugombea ubunge.
  4. I

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Katibu wa Hamasa CCM: Mnaosema bora Magufuli kuliko Samia, tunawapa onyo. Hatutawaunga mkono kwenye Uchaguzi

    Kwani c kweli tofauti ya mama Samia na magufuli iko katika kujiamini hakuna asiyejua magufuli alikuwa anafanya mwenyewe huyu mama anaongozwa na kina kikwete, Omar kheri na lukuvi na shida yote imeanzia hapo.
  5. I

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Askofu Gwajima: Utajisikiaje kama Baba Yako anashushwa kwenye gari, halafu kesho unasikia amekufa

    Kwa hivyo tukae kimnya na insha'Allah kwa uwezo wa Mungu Kesho atekwe mwanao au mkeo ndipo utapojuwa jinsi familia wa waliotekwa na kutoweka wanavyopitia.
  6. I

    JamiiForums Tanzania Mtu wa Kwanza kukataa Madaraka akikataa kukubaliana na Uovu wa Wenzie Serikalini

    Warioba vile vile alikataa kuendelea miaka mitano mwengine ya Ali Hassan mwinyi
  7. I

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alijenga kanisa nyumbani kwake, Askofu Niwemwigizi akagoma kulipokea

    Kweli hatasahaulika kwa madhila aliyowafanyia watu yaani wafanya biashara,wafanyakazi,na wapinzani wake ambao mpaka leo wanauguza makovu.
  8. I

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nayaona haya kwa Tundu Lissu na CHADEMA nikiwa kama 'political strategist'

    4r hiyo iko wapi mbona wameharibu uchaguzi wa serikali za mitaa na Samia yuko kimnya na serikali yake
  9. I

    JamiiForums Tanzania Katibu Wizara ya Nishati Felchesmi Mramba: Umeme unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu

    Nimemfahamu yaani umeme utakaopotea njiani kabla ya kuingia Tanzania huo hatuulipii Sisi ni juu yao.
  10. I

    JamiiForums Tanzania Atakaye ahidi kujenga bwawa kubwa la umeme mto Msimbazi ili kumaliza tatizo la umeme Dar es Salaam nitampa kura zangu zote

    Wale tuliopinga uharibifu wa mazingira na mkatuona wapinga maendeleo sasa mnaona jinsi tulivyopoteza matrilioni kwa mradi mbovu kabisa, kikwete alikuja na mradi kwa kuzalisha umeme wa gesi kutoka kusini ambao ungeondosha kabisa tatizo la umeme lakini alipoingia magu akaja na lake na hili ndio...
  11. I

    JamiiForums Tanzania Ni vema Bunge limuite Mzee wa Upako na kuhoji kauli yake Kuwa Kufuatilia Bunge la Sasa ni Kupoteza Muda Bure!

    Ahojiwe nini na ni haki yake kutoa maoni yake jinsi anavyoona bunge Linavyo endeshwa na wewe kama unaona limo poa sema.
  12. I

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

    Sio mwehu Mungu huyo anakuadhirisheni ma CCM kwa dhambi mlizozifanya na mnazoendelea kuzifanya na huyu inaonesha alihusika kwa wale ndugu zetu waliopogezwa wakati ule.
  13. I

    JamiiForums Tanzania Nashauri Mawaziri, RC DC na DED wapelekwe Semina Elekezi kama enzi za JK. Fikiria wakati tunazungumzia Utekaji DC anadai Kuna Kitu alifanya Maporini!

    Visomo hivyo vya misikitini na makanisani vinaanza kafanya kazi mwisho wataanza kutajana kwa kila anayehusika na uharamia huu unaoendelea.
Back
Top Bottom