mdizi, facts ninazo zote, sikataai kwamba anashindwa kuzaa na rehema but point is that he did not! Mimi ningepaswa niwe mchumba wake Nyaga lakini tulizinguana mpaka akanifukuza kazi...
Unangangania sana kunipa namba ya Alex, kwani hujui kwamba alex ndo anasambaza uongo kwamba nyaga alimzalisha...
My dear Mdizi, Nyaga hajazaa na Rehema! Anamtoto mmoja wa kike alie zaa na mwarabu wa moshi. Nikupe namba ya Nyaga umuulize? Acha kujifanya mjuaji...wewe ndo uko kigazi!
Mwaka 84 Nyaga alikua na miaka 11...kuna mtu kweli anakuwa na mahusiano ya kimapenzi at that age?
Wewe uliesikia kwamba Nyaga kamnunulia gari enzi hizo, ulikutwa? Secondly una uhakika gani kwamba walikua na mahusiano? Ulikutwa?
People should just find constructive issues to talk about. This topic has shifted from something potentially interesting to upuuzi mtupu from people who post posts simply because wana access ya keypad or keyboard. ....mara oh mawalla hivi, mawalla vile...mnamjua hata sura ama mnabwata tu?
jamani hebu acheni umbea, Nyaga hajazaa na Rehema. Amezaa na mwarabu koko wa Mauly Tours. Mimi nimemjua Nyaga kwa miaka mingi sana na hajawahi kuwa na mahusiano yakimapenzi na Rehema, nilifanya kazi Mawalla advocates so please ongeeni facts and tuepuke umbea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.