Nackia alienda na mwenzie gan cjui, ila walienda kwaajil ya kufanya show na badae ma2main akapata bwn wa hukohuko wakaanza kuish pa1 lkn alivyoanza kuumwa huyo bwn akamkimbia na kumuacha ndan bla msaada wowote ndo mpk leo hajiwez na hana hela ya kurudia.
Leo kuna mwakilish wa bongo muv alikuwa anaomba mchango clouds fm wa sh.1ml ili wakamchukue mwenzao(ma2main) aliyepo msumbij,ss kwan wao wanashindwa kutoa hyo pesa mpk wa Tz 2changie?
Huyo nadhan bado hajajifunza ki2 wangemuacha hata kwa miaka 10 hv akome coz mtoto mdogo anapalamia mambo ya kikubwa na skendo zimemjaa zaid hata ya dada zake mtoto kicheche mpk aibu kumuangalia mara 2 anatembea na wanaume ambao walitakiwa kuwa babu zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.