Recent content by irene charles

  1. I

    Bongo muv waomba msaada kwa wa Tz.

    Nackia alienda na mwenzie gan cjui, ila walienda kwaajil ya kufanya show na badae ma2main akapata bwn wa hukohuko wakaanza kuish pa1 lkn alivyoanza kuumwa huyo bwn akamkimbia na kumuacha ndan bla msaada wowote ndo mpk leo hajiwez na hana hela ya kurudia.
  2. I

    Bongo muv waomba msaada kwa wa Tz.

    Leo kuna mwakilish wa bongo muv alikuwa anaomba mchango clouds fm wa sh.1ml ili wakamchukue mwenzao(ma2main) aliyepo msumbij,ss kwan wao wanashindwa kutoa hyo pesa mpk wa Tz 2changie?
  3. I

    Lulu Apata Dhamana Sasa yuko Uraiani.

    Huyo nadhan bado hajajifunza ki2 wangemuacha hata kwa miaka 10 hv akome coz mtoto mdogo anapalamia mambo ya kikubwa na skendo zimemjaa zaid hata ya dada zake mtoto kicheche mpk aibu kumuangalia mara 2 anatembea na wanaume ambao walitakiwa kuwa babu zake.
  4. I

    Ben pol vs Diamond

    Eti kat ya diamond na ben pol nan mkal nisaidien hapo.
  5. I

    Ben Paul na Belle 9 nani mkali?

    Ben paul funiko jmn bell 9 hamna ki2 ajipange sn.
Back
Top Bottom