Recent content by Iqraa

  1. I

    Ni Quotes au msemo gani uliokuvutia hivi karibuni?

    Usinitreat kama second class Person Utakuwa umefanya first class Mistake au sio!?
  2. I

    Changez za mfumo wa music Clouds fm.

    Mi nadhani mabadiliko ya playlist clouds FM yana mvuto zaidi kwa wasikilizaji sijui wadau mnasemaje....manake ukilinganisha na kipindi cha nyuma kidogo ukwlei ni kwamba ilipoteza muelekeo kabisa ila atleast kwa sasa waweza kusiki hata nyimbo ambazo hutarajii kuzisikia kirahisi..
  3. I

    Wimbo Gani Umekukaa Kichwani Leo....

    Haaaahahahahahahahaha Dah Kali sana Ila mimi leo ni Ndumilakuwili by olduvai Band kwa waliokuwepo miaka hii watanielewa tu Baba kaleta Panyaa Baba kaleta Panyaa We Uchicheme panya chema chamaki nchanga Mwenye nyumba hii ni Mmakonde akitugundua atatufukuza turudi kwetu nchumbiji...
Back
Top Bottom