Recent content by iptl skanska

  1. iptl skanska

    JamiiForums Tanzania Nauza kuku aina ya broiler

    Nauza kuku 7500. Kuku Wana wiki 5 na wako 270. Kwa ambae anahitaji jamani mnaweza nitafuta Kwa namba 0624 85 57 57. Mabanda yapo mbezi beach salasala. Kwa maeneonya karibu delivery ni bure. Unapata kuku ameshachinjwa. Kama utataka mzima utapata Kwa 7000 kamili.
  2. iptl skanska

    JamiiForums Tanzania Ni kero zipi zinazowakuta wafanyabiashara na wanunuzi?

    Yes kwa bongo it is well applicable, Italeta mvutano kidogo lakini hamna kinachoshindikana. kwa asilimia 70 itapokelewa ila wale asilimia 30 itachukua mda kuikubali
  3. iptl skanska

    JamiiForums Tanzania Ni kero zipi zinazowakuta wafanyabiashara na wanunuzi?

    Hii huwa ni changamoto kwasababu ya waliotangulia kupoteza vitu na pesa ndomana imekuwa hivi, na ni janga kubwa. Ahsante kwa huu mchango mzuri. Nimelipokea
  4. iptl skanska

    JamiiForums Tanzania Ni kero zipi zinazowakuta wafanyabiashara na wanunuzi?

    Hii naitambua kuwa tatizo kubwa mno. nimelipokea hili
  5. iptl skanska

    JamiiForums Tanzania Ni kero zipi zinazowakuta wafanyabiashara na wanunuzi?

    okay nimelipokea hili
  6. iptl skanska

    JamiiForums Tanzania Ni kero zipi zinazowakuta wafanyabiashara na wanunuzi?

    Ukisema kuibiwa mtaji unamaanishaje? sijaelewa hapo, hii ya kodi ya frame na Tra naijua, upande wa kukopa na kuchikichia sijaelewa, ni kutolipa au kupotea? kwenye bei mfumuko kwa wanunuzi nimeelewa. Haha pole sana kuhusu jina Mheshimiwa.
  7. iptl skanska

    JamiiForums Tanzania Ni kero zipi zinazowakuta wafanyabiashara na wanunuzi?

    Lengo nikuweza kutatua hizo kero na kurahisisha biashara kwa upande wa wafanyabiashara na kwa wanunuzi kuwadhihirishia muuzaji ni wakweli na sio tapeli na bidhaa ndo yenyewe haswa na sio uwongo.
  8. iptl skanska

    JamiiForums Tanzania Ni kero zipi zinazowakuta wafanyabiashara na wanunuzi?

    Lengo langu kwa kifupi kuweza kutatua hizi changamoto na kila upande kuwa na urahisi wa kufanya biashara na kupata huduma. yes sawa na kuweka app na website
  9. iptl skanska

    JamiiForums Tanzania Ni kero zipi zinazowakuta wafanyabiashara na wanunuzi?

    Habarini jamani, Naomba kujua kero mnazopata wafanya biashara na wanunuaji. Nafanya utafiti tu ili niweze kujua shida kubwa hasa ni nini kwa pande zote mbili. Kwa mwenye mda anaweza kucomment hapa.
  10. iptl skanska

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Plot for sale at IPTL, Skanska Dar es Salaam

    PLOTS FOR SALE Total Size – 4000Sqm Price – 360,000,000 TZS Location – Mtaa (Sala Sala ) Kata (Wazo ) Barabara (Flamingo Road) Wilaya ( Kinondoni ) Title Deed – Under process Residential Purpose Close to Waziri Dorothy Gwajima 3 plots of 1333 sqm can be sold separately for 120M each. serious...
Back
Top Bottom