Ukweli utasemwa tu. Wakae kimya wote ila ukweli ndio huu. Mfanyakazi wa serikali tena idara ya manunuzi anakuwa busy kuhakikisha anajipa zabuni. Hii sio sawa kabisa. Ni lazima ukweli usemwe na wahusika kama mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na mkurugenzi wachunguze kitu kama hiki ambacho kipo wazi...
Naisaidia serikali ya awamu ya sita chini ya Mama Samia na Waziri Umy Mwalimu kama waziri wa TAMISEMI.
Inadaiwa Halmashauri ya Mpanda, kuna jamaa anaitwa NYACHIA KUNJU, huyo jamaa anaimiliki IDARA ya manunuzi hasa kwenye miradi iliyochini ya Idara ya Afya na Elimu. Anaamua nani apewe kazi nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.