Wapendwa habari.karibuni tunauza sendo za kimaasai aina za makirikiri na za kawaida vya watoto,kiume na kike.tunauza kwa bei ya jumla na rejareja.. Kwa wateja wa mbali mtatumiwa mizigo yenu hadi mlipo..kwa mawasiliano piga 0765596933,,,whatsapp::0765596933..karibuni sana
Asante kwa changamoto nzuri ila kwa mteja aliependa bidhaa zetu atatumia hayo mawasiliano nliotoa,that's why ntasema kwa maelezo zaidi piga namba nlizozitoa..kwa wa mikoani wengi wao wanafurahia huduma zetu kwani mizigo huwafikia salama na kwa ubora ule ule
Dear customers we have new and quality Tanzania Traditional MAASAI sandals for both children,ladies and gentlemen.. We sale through retail and whole price. Our industry is located in Dodoma Tanzania near St. John University.. For more information check us in WhatsApp via 0765596933 or call us...
Sendo za chini jumla ni 11000 na rejareja 14000 hadi 13000 .hizo zenye shangaa za kupanda kama soksi yaani Makirikiri jumla ni 25000-30000 na rejareja ni 35000-40000
Habari wakuu
Tunauza sendo za kimaasai kiume na kike kwa bei ya jumla na rejareja..kiwanda chetu kipo DODOMA karibu na St. John university. Kwa wale waliomikoa tofauti na dodoma utatumiwa mzigo hadi ulipo.
Kwa mawasiliano zaidi piga namba hizi VODA 0765596933 na TIGO 0672369962.
VIATU NI BOMBA...
Unaweza kukaa au kutembea but kama huna kauli nzuri kwa wateja wako na ukarimu mtu ataishia kutembeza bidhaa bila mafanikio...pia eneo la kutembeza au kukaa kufanyia biashara nayo ni njia moja wapo ya kupiga biashara poa.kuna vitu vingi vya kuangalia kabla ya kutembeza au kakaa sehemu moja...
Wapendwa wajasiriamali ,naitwa innocent nipo DODOMA maeneo ya St. John.nauza sendo au viatu vya kimasai vya kike na kiume.rejareja ni 13000 na bei ya jumla ni 10000.hivyo wajasiriamali wa DODOMA na mikoa mingine hakuna haja ya kuagiza viatu kutoka Kenya au ARUSHA.. Ukihitaji mzigo mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.