Recent content by Ine01

  1. I

    GE2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yamtangaza Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili

    Kumbe Lissu alisema ukweli kwamba Tume wana kura mil 12 za Rais Magufuli. Na leo NEC mmetuthibitishia hili.
  2. I

    Kwa niliyoyashuhudia katika Uchaguzi huu, Poleni viongozi wa Upinzani

    wapiga kur Wameambiwa wakae umbali wa mita 100 sasa ata hayo matokeo watayaonaje??
  3. I

    Kwa niliyoyashuhudia katika Uchaguzi huu, Poleni viongozi wa Upinzani

    yan yule baba ataongoz tena,yan tutateseka tena kwa miaka 5???siamin kwa kweli, Lissu ww ni mwanasheria,naomba fany Kitu..okoa Tanzania kabla huyu baba hajaapishwa mbona ushahid wa wiz wa kura upo wazwaz tu
  4. I

    GE2020 NEC: Matokeo ya Urais yataanza kupokelewa kuanzia usiku wa leo kutoka kwenye Majimbo

    Mungu baba sikia kilio cha Watanzania[emoji120] Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
  5. I

    GE2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

    Eeh Mwenyez Mungu sikia maombi ya watanzania[emoji120] Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
  6. I

    GE2020 Dkt. Magufuli akemea wanasiasa wanaochochea fujo

    Nitakua mjinga sana. Nimeisubiri tar 28/10 kwa miaka 4 sasa,halafu niende nikampigie kura JPM..labda niwe nimerukwa na akili ila kwa akili zangu timamu..HAPANA...LISSU ANATOSHA,MITANO KWANZA
  7. I

    GE2020 Namna ya kudhibiti uwepo wa vituo hewa/bubu vya kupigia kura katika uchaguzi mkuu - 2020

    Yan aliyefukuza wafanyakaz feki na tuondoa wafanyakaz hewa leo anatengeneza kura feki na vituo vya kupiga kura Hewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] #niyeye
  8. I

    GE2020 Je, tunaruhusiwa kupiga kura ya Rais kwa tulio mbali na Vituo tulivyojiandikishia?

    Tume ya uchaguz INA uwezo Wa kuaccess taarifa za mpiga kura sehem yoyote ile atakayokuwepo kupitia system yao..kwann wasingefanya ivo ili kuruhusu mpiga kura kupiga kura popote..yan unaenda na kadi wanaangalia kama umejiandikisha halaf wanaweka alam maalum kwenye system yao kuonyesha kwamba...
  9. I

    GE2020 Lissu mgombea Urais wa Mijini anayezunguka town to town kampeni akiacha asilimia 80 ya wapiga kura waishio Vijijini

    Tanga ameingia vijijin akamalizia mjin..ameeanza lushoto,korogwe,muheza akamalizia tanga mjin..na bado atarudi kumalizia pangani,mkinga..mtoa post unajifariji tu lisu anapiga mjin na vijijin
  10. I

    GE2020 Hili la kurudia kupiga kura ukikosea na Vitambulisho Mbadala, kwanini uchaguzi huu?

    Kwa maana hyo kutakua na karatas za ziada kwaajili ya marekebisho kwa waliokosea/kubadili mawazo,kwann wasituruhusu tupige kura kituo chochote kwa sisi tuliohama makazi...maana kila kituo kitakua na karatas za ziada tuzitumie izo izo
  11. I

    GE2020 NEC: Hatutaruhusu mtu kukaa mita 100 kusubiri matokeo ya uchaguzi

    Sawa, tutakaa mita 150 au 200 kabisa ila suala la kusubiri matokeo yetu lipo pale pale
Back
Top Bottom