Katika ulimwengu huu ambao ujasiliamali umehubiriwa sana kila mmoja anataka kuwa boss, kila mtu anawaza kuanzisha biashara yake, kuna biashara nyingi zinaanzishwa kila siku lakini kuna biashara nyingi zinakufa kila siku. Ni biashara chache sana ndio zinafikia hatua ya tano, nyingi huishia hatua...
Ndugu wana jukwaa, Makala mpya inatoka leo, Inahusu hatua tano za ukuaji wa biashara. itakupa mwanga wa kujua biashara yako iko hatua gani, na katika hatua hiyo ni mambo gani ya kuzingatia na ni hatari gani utazikabili na nini kifanyike ili uweze kuvuka kwenda hatua nyingine. Kaa mkao wa kula.
Ni kweli. Hususani biashara mpya. Unapoanzisha biashara na unategemea kula na matumizi yako yote hapo hapo ni shida. Lazima ipate muda wa kutosha kustabilize.
Tunaendelea kupata michango mbalimbali. So far, comments zote ni nzuri. Ningependa nisisitize vitu vichache tu.
i. Ni ukweli wa wazi kwamba biashara ni ngumu sana, ina changamoto nyingi sana, na kwa bahati mbaya wengi wetu hatujalelewa kwenye mindset ya biashara tangu tukiwa wadogo. wengi...
Katika ulimwengu wa biashara, ni kazi ngumu kuifanya biashara idumu na kukua kuliko kuianzisha hata kama ulianzisha kwa mabilioni ya pesa. Biashara nyingi huanzishwa kila siku na biashara nyingi zinakufa kila siku kwa sababu mbalimbali ambazo tutazijali siku nyingine. Katika makala ya leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.