sijuwi kwanini walimu wetu wa ngazi zote hawathaminiwi kama wambunge na mawaziri wa nchi wakati tunasikia asilimia kubwa ya waajiriwa ni waalimu. Ila majeshi nao huthaminiwa xana tena xana, sasa kwa sisi walimu inakuwaje? Tujadiliane kwa hoja ndg.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.