Recent content by Imani the best

  1. I

    HESLB INVALID TRANSACTION I'd

    Endelea kuingiza hzo ID itakubali tu.
  2. I

    Continuing student loan application (HESLB)

    10,000 for continuing students
  3. I

    boom

    Ukishajaza fom unapeleka wap?
  4. I

    Jamani Naombeni msaada! Mwenye kujua link ya kufanyia online application ( ULR)

    Olas.helbs.go.tz fungua hyo web then apply mkopo...halafu no. Zako za sm tafa dhal
  5. I

    Kati ya B.ed in (phy,bios,chem) ipi ni ngumu kuliko zote na ipi ni rahisi?

    Lakn c'o kila anaesoma ualim anataka kuwa mwalim mkuu
  6. I

    Kati ya B.ed in (phy,bios,chem) ipi ni ngumu kuliko zote na ipi ni rahisi?

    Kwenu wakuu naomba ushauri wenu maana naweza nikaenda kichwakichwa bila kupata ushaur mwisho nikaangukia pua.
  7. I

    Wale wanao au waliosoma sjuit msaada hapa tafadhali

    Bado sijapata kile nnachokitaka mkuu
  8. I

    Manispaa ya Shinyanga mjini pesa za kujikimu na nauli za Walimu wapya ziko wapi?

    Syo swala la kuuliza hilo, pesa zipo kwenye vitambi vya wabunge wetu wa bunge maalum la katiba.
  9. I

    Wale wanao au waliosoma sjuit msaada hapa tafadhali

    Wakuu tusaidiane hapa kdg, mm nna mishe za kusoma sjuit arusha campus coz ya B.ed kwa mwaka 2014-2015.Sasa sijui masomo wanaanzaga mwez wa ngap na nimeapply kutoka chuon kabisa.
  10. I

    Medical laboratory assistant

    Wakuu msaada tafadhal, nataka kujua kama hii kozi ya laboratory assistant kama inalipa au la, upatkanaj wa kaz na vp kuhusu mishahara yao kwa mtu mwenye diploma
  11. I

    Msaada:Vyuo vinavyohitaji Pass 3.

    Datastar training college ndo jbu lake
Back
Top Bottom