Wakuu tusaidiane hapa kdg, mm nna mishe za kusoma sjuit arusha campus coz ya B.ed kwa mwaka 2014-2015.Sasa sijui masomo wanaanzaga mwez wa ngap na nimeapply kutoka chuon kabisa.
Wakuu msaada tafadhal, nataka kujua kama hii kozi ya laboratory assistant kama inalipa au la, upatkanaj wa kaz na vp kuhusu mishahara yao kwa mtu mwenye diploma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.