Recent content by iliasakhamis

  1. I

    DP World: Zungu atinga mkutanoni na mafaili ya makubaliano

    naamini kwenye hili la mkataba wa uendeshaji wa huduma za bandari ya Tanzania na DP world una manufaa makubwa kwa nchi licha ya kuwa na mapungufu mengi na propaganda za kisiasa kuhusu mkataba huu ni maoni yangu serikali kupitia mwanasheria mkuu wa serikali liandaliwe jopo la wanasheria kufanya...
  2. I

    SoC02 Sera za kodi ,ushuru bandarini zinavyozorotesha maendeleo ya nchi

    Habari wana JF Napenda kuwashirikisha wanajamii wenzangu juu ya uchumi wa nchi ya Tanzania kudhoofika na kuendelea kukua kwa kiwango kidogo sana kwa kila mwaka ni kutokana na kuwa na sera za kikodi na ushuru ambazo zinawavunja moyo wawekezaji na wafanyabiashashara wengi kupelekea kudorora...
  3. I

    Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change 2022)

    Tayari nimeshaweka andiko langu 1) sera za kodi ba ushuru zinavyozoretesha ukuaji wa uchumi 2) Mitaala ya elimu ni chanzo cha vijana wengi kuwa maskini Naombeni ushiriki wenu kwenye mijada hii km umeipenda naomba kura yako
  4. I

    SoC02 Mitaala ya elimu ni chanzo cha vijana wengi kuwa maskini

    Habari wanaJF, Napenda kushiriki nanyi kwenyw mjadala huu wa elimu "Mitaala ya elimu ni chanzo cha vijana wengi kuwa maskini" Mitaala ya elimu ya Tanzania haimuandai kijana kuingia kwenye soko la kujiajiri ilihali serikali haina uwezo wa kuwaajiri wahitimu wote kwenye soko la ajira Elimu yetu...
  5. I

    SoC02 Sera za kodi, ushuru na miundombinu bandarini zinavyozorotesha uchumi wa nchi

    Wadau ni wakati wenu kupitia na kuweza kupiga kura zenu
  6. I

    SoC02 Sera za kodi, ushuru na miundombinu bandarini zinavyozorotesha uchumi wa nchi

    Habari wana JF Napenda kuwashirikisha wanajamii wenzangu juu ya uchumi wa nchi ya Tanzania kudhoofika na kuendelea kukua kwa kiwango kidogo sana kwa kila mwaka ni kutokana na kuwa na sera za kikodi na ushuru ambazo zinawavunja moyo wawekezaji na wafanyabiashashara wengi kupelekea kudorora...
Back
Top Bottom