Recent content by Ikinda

  1. Ikinda

    Msaada:Anadai amepata unabii kuwa mimi ni mtu mbaya sana na simpendi nataka kumharibia maisha

    kweli naamini MUNGU hakunileta duniani niishi haya bali naamini nipito tu na nitavuka amina hata mm naamini hivyo.
  2. Ikinda

    Msaada:Anadai amepata unabii kuwa mimi ni mtu mbaya sana na simpendi nataka kumharibia maisha

    kweli naamini MUNGU hakunileta duniani niishi haya bali naamini nipito tu na nitavuka
  3. Ikinda

    Msaada:Anadai amepata unabii kuwa mimi ni mtu mbaya sana na simpendi nataka kumharibia maisha

    Hakika mkuu umesema mazito sana,mm niliona kama nimefika kumbe nilikuwa cjafika bado,japo pindi nakua mama yetu alitwambia mwanamke hapigwi maana siku nazaliwa Naambiwa baba yangu alipata ajari akafariki so nimekuwa na mama tu,ila kwa hili ni shule tosha mkuu ulilonipa,ahsante sana
Back
Top Bottom