Hakika mkuu umesema mazito sana,mm niliona kama nimefika kumbe nilikuwa cjafika bado,japo pindi nakua mama yetu alitwambia mwanamke hapigwi maana siku nazaliwa Naambiwa baba yangu alipata ajari akafariki so nimekuwa na mama tu,ila kwa hili ni shule tosha mkuu ulilonipa,ahsante sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.