Habarini ndugu zangu,Kuna rafki yangu alikuwa akiuza T-shirt za mtumba za grade one hapa Dar sasa kapata ishu nyingine mkoani uko ya kuzunguka zunguka sana sasa kuna mzigo wa tshirt ulikuwa umebaki kwaio anauza kwa bei ya hasara tuili ziishe kama kuna mtu anahitaji zote kwa bei ya jumla jumla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.