Hakika umeyaangalia mambo kwa mapana sana na kama Wakuu wa CDM watapata kuipitia lipo jambo la kujifunza kwao lenye mlengo ulio chanya kwao! Yafaa yazingatiwe yale uliyopata kuyazungumzia kwa namna ya pekee kabisa kwa ukuaji zaidi wa chama husika! Bravo Kaka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.