Recent content by Idugunde

  1. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Nini kilimsibu Idugunde na kuacha kuishabikia CCM kama enzi zile?

    Safi kabisa.
  2. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Wasomi, walimu wa vyuo vikuu wanadhihakiwa na Mwijaku kuwa hawana hela na wana njaa

    Katika kupita pita huko kwenye mitandao ya kijamii nilikutana na clip ya chawa mmoja wa CCM akiwakebehi walimu wa vyuo vikuu nchini. Inasadikiwa walikutana walimu wa vyuo vikuu mia moja ili kujadili juu ya kesi inayomkabili mwenzao wa Udom. Michango ikapitishwa na kilichopatikana ni sh laki...
  3. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Fifa waandikiwe barua nyingine ili Tff wapewe adhabu. Huwezi kupeleka mechi ya ngao ya hisani Zanzibar wakati Zanzibar wana ZFf na ligi yao.

    Kwa ujumla huku ni kuleta siasa kwenye mpira. Na ni kinyume na misingi ya Fifa inayozuia kuingiza siasa kwenye soccer👇
  4. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Dk Muchunguzi uchawa wote kusifia uovu wa CCM ni kwa sababu alisoma na Rais Samia. Taifa letu halitapata wasomi kama akina Sengondo Mvungi (RIP).

    Kama mtu mwenye elimu anatakiwa awe a resonable person kana akina Proffesor Shivj. Do you know what is the standard of a reasonable person?
  5. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Dk Muchunguzi uchawa wote kusifia uovu wa CCM ni kwa sababu alisoma na Rais Samia. Taifa letu halitapata wasomi kama akina Sengondo Mvungi (RIP).

    Huna akili mpuuzi mkubwa. Hoja kubwa ni msomi mwenye hadhi ya uanazuoni kutoa maoni kama mtu aliyesoma. Mfano, Kipindi Dp world wanapeawa mkataba wa hovyo wa bandari. Kama msomi angetuambia walistahili au la? Maana kujenga na kupanua bandari na kuweka cranes nyingine hata taifa linheweza.
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Dk Muchunguzi uchawa wote kusifia uovu wa CCM ni kwa sababu alisoma na Rais Samia. Taifa letu halitapata wasomi kama akina Sengondo Mvungi (RIP).

    Taifa linakuwa na msomi kama huyu Dk Denis Muchunguzi litafika mbali kweli? Msomi mzima anajikomba badala ya kueleza ukweli na uhalisia wa siasa mbovu zinazoendelea nchini. Wasomi kama akina Dk Sengondo Mvungi hawatatokea tena. Hawakujikomba wala kujipendekeza.i Dk Denis kusifia uovu wote wa...
  7. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Brian Mundubile: Zambia sio Tanzania. Adai kuwa mbinu za kuiba kura zinazotumika Tanzania zinatumiwa Zambia kwenye Taifa la Kikristo

    Pumbavu huna akili. Nani kakuambia uchangie hii mada. Unaleta upuuzi kama ulivyozoea kufirwa
Back
Top Bottom