Recent content by Idugunde

  1. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Rais Samia kama ana uchungu na Watanganyika kwa nini hamchukulii hatua Afande Mafwele pamoja na tuhuma zote hizi?

    Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar. Alafu tunaumizwa sana. Maana utekaji umekuwa ukiumiza amani ya mioyo ya watu. Angalia tukio la Sativa. Kwenda kutupwa porini na...
  2. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Sio Gambo tu zaidi ya makada 200 wa CCM kuhamia CHADEMA hii ni kwasababu CCM imeparaganyika tangu Oktoba 29

    Inasemekana zaidi ya makada mia mbili na ushee watahamia Chadema. Wamevutiwa na msimamo imara na madhubuti wa Heche na Lissu. CCM chini ya rais Samia inaendeshwa kwa undugunization na imekumbatia wapigaji. Wengi wa makada hawa walikuwa wanamsumbua Heche wakidhania Chadema ingeshiriki...
  3. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aliyesema Rais Samia ajiuzulu kabla ya Disemba 9, Dkt. Malisa aachiliwa huru, Mahakama yamfutia kesi ya Uhaini

    Hii ni wazi kabisa kuwa serikali inabambikizia watu kesi za uhaini. Mzee Malissa amesota jela bila hatia alafu anakuja kuachiwa kimyakimya!
  4. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Neno moja kwa huyu kijana shupavu ambae amewatia moyo Gen Z kuwa sio wahuni wala majambazi wanaostahili kupigwa na kutekwa

    Kijana shujaa wa Chadema ya Lissu👇
  5. Idugunde

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    Eti anadai kuwa ataifuta Chadema ndani ya dakika moja
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tujihoji kwa makini: Hii tume iliyoundwa kwenda kuchunguza makosa jinai yaliyotokea Oktoba 29 mwaka 2025 inakwenda kuchunguza nini?

    Ni wazi kabiaa kuwa uhalifu ulifanyika ile Oktoba 29. Vijana waliiba na kuvunja maduka. Huu uhalifu upo wazi kabisa. Kama ilivyokawaida maandamano yoyote makubwa huandamana na ghasia na uporaji. Maana yanakuwa na watu mchanganyiko... Lakini uhalifu mkubwa kuliko huo uporaji mali na uharibifu...
  7. Idugunde

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Kwa akili ndogo tu ya kawaida nani ataweza kutoa ushahidi ili Polisi walioua watu wawe liable? Mfano lile tukio kule Mwanza watu kumi na tano walikuwa wanaangalia mpira wakapigwa risasi ndani ya banda la mpira. Acha ushabiki.
  8. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yakumbwa na aibu Nyankumbu -Geita

    Uongo wa kishoga
  9. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Nilichokishuhudia leo Katoro naanza kupata imani hii ni CHADEMA iliyojitoa mhanga kutetea maslahi ya Watanzania

    Mambo ya misitu ya nini? Ulizia vitu vya msingi kama gereza la Kanegele
Back
Top Bottom