Unakuwa mgumu vipi kuelewa? Ulimaliza la saba? Nazungumzia utendaji wake kama kudhibiti nidhamu ya watumishi wa umma, kudhibiti ufisadi, kusimamia miradi kama ujenzi wa JNHEP n.k hivi vilimpa kupendwa na wananchi na kuwa na imani kubwa kwake.
Suala la utekaji na kuwa alikuwa na kundi la...
Yawezekana kweli alikuwa na kundi lake lililokuwa linateka watu na kuua. Lakini kwa upande wa wananchi wa kawaida kwa namna ya ufanya kazi wake walimwamini sana na ilikuwa ngumu kuingia mitaani na kumpinga
Naona sasa kama imekuwa slogan ya kuwakashifu wanaCCM wanapofariki
Hii kauli sio kauli ya wana CCM wote
Sitetei juu ya alichosema mwenyekiti wa CCM
Lakini isiwe sababu ya kuwahukumu wote.
Naona leo amekufa mwanaCCM alafu watu wanashangilia kifo ni kifo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.