Recent content by Idugunde

  1. Idugunde

    Halima Mdee tubu yaishe lakini eleza ukweli wote Covid 19

    Mtafute mzungumze.... Non sense
  2. Idugunde

    Yaitishwe maandamano makubwa nchi nzima kushinikiza Tundu Lissu aachiwe

    Uchokonozi upi? Au wewe kwa sababu uwezo wa kupambanua mambo ni mdogo ndio unadhania ni uchokonozi. Hivi unadhani hili la maandamano haliwezekaniki?
  3. Idugunde

    Sugu: CCM sasa hivi hawatawali nchi, inatawaliwa na Dola. Huenda CCM wamenyang'anywa jukumu la kufanya Siasa

    Unakuwa mgumu vipi kuelewa? Ulimaliza la saba? Nazungumzia utendaji wake kama kudhibiti nidhamu ya watumishi wa umma, kudhibiti ufisadi, kusimamia miradi kama ujenzi wa JNHEP n.k hivi vilimpa kupendwa na wananchi na kuwa na imani kubwa kwake. Suala la utekaji na kuwa alikuwa na kundi la...
  4. Idugunde

    Sugu: CCM sasa hivi hawatawali nchi, inatawaliwa na Dola. Huenda CCM wamenyang'anywa jukumu la kufanya Siasa

    Yawezekana kweli alikuwa na kundi lake lililokuwa linateka watu na kuua. Lakini kwa upande wa wananchi wa kawaida kwa namna ya ufanya kazi wake walimwamini sana na ilikuwa ngumu kuingia mitaani na kumpinga
  5. Idugunde

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Toa pumba zako hapa
  6. Idugunde

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Kwenda zako, kula kona
  7. Idugunde

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Kwenda zako shwain mkubwa wewe
  8. Idugunde

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Kwenda zako huko
  9. Idugunde

    Sugu: CCM sasa hivi hawatawali nchi, inatawaliwa na Dola. Huenda CCM wamenyang'anywa jukumu la kufanya Siasa

    Uliza mwananchi yoyote . Ilikuwa ngumu kumsema vibaya hayati JPM kwa wananchin wa Kawaida.
  10. Idugunde

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Mwenyekiti wa nani?
  11. Idugunde

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Wapi nimewatetea?
  12. Idugunde

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Naona sasa kama imekuwa slogan ya kuwakashifu wanaCCM wanapofariki Hii kauli sio kauli ya wana CCM wote Sitetei juu ya alichosema mwenyekiti wa CCM Lakini isiwe sababu ya kuwahukumu wote. Naona leo amekufa mwanaCCM alafu watu wanashangilia kifo ni kifo tu.
  13. Idugunde

    Sugu: CCM sasa hivi hawatawali nchi, inatawaliwa na Dola. Huenda CCM wamenyang'anywa jukumu la kufanya Siasa

    Wakati wa Magu ulisikia wananchi wanalalama na kuingia barabarani kama Oktoba 29?
Back
Top Bottom