Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar.
Alafu tunaumizwa sana. Maana utekaji umekuwa ukiumiza amani ya mioyo ya watu.
Angalia tukio la Sativa. Kwenda kutupwa porini na...
Inasemekana zaidi ya makada mia mbili na ushee watahamia Chadema.
Wamevutiwa na msimamo imara na madhubuti wa Heche na Lissu.
CCM chini ya rais Samia inaendeshwa kwa undugunization na
imekumbatia wapigaji.
Wengi wa makada hawa walikuwa wanamsumbua Heche wakidhania Chadema ingeshiriki...
Ni wazi kabiaa kuwa uhalifu ulifanyika ile Oktoba 29.
Vijana waliiba na kuvunja maduka. Huu uhalifu upo wazi kabisa.
Kama ilivyokawaida maandamano yoyote makubwa huandamana na ghasia na uporaji. Maana yanakuwa na watu mchanganyiko...
Lakini uhalifu mkubwa kuliko huo uporaji mali na uharibifu...
Kwa akili ndogo tu ya kawaida nani ataweza kutoa ushahidi ili Polisi walioua watu wawe liable?
Mfano lile tukio kule Mwanza watu kumi na tano walikuwa wanaangalia mpira wakapigwa risasi ndani ya banda la mpira.
Acha ushabiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.