Katika kupita pita huko kwenye mitandao ya kijamii nilikutana na clip ya chawa mmoja wa CCM akiwakebehi walimu wa vyuo vikuu nchini.
Inasadikiwa walikutana walimu wa vyuo vikuu mia moja ili kujadili juu ya kesi inayomkabili mwenzao wa Udom.
Michango ikapitishwa na kilichopatikana ni sh laki...
Huna akili mpuuzi mkubwa.
Hoja kubwa ni msomi mwenye hadhi ya uanazuoni kutoa maoni kama mtu aliyesoma.
Mfano, Kipindi Dp world wanapeawa mkataba wa hovyo wa bandari. Kama msomi angetuambia walistahili au la? Maana kujenga na kupanua bandari na kuweka cranes nyingine hata taifa linheweza.
Taifa linakuwa na msomi kama huyu Dk Denis Muchunguzi litafika mbali kweli?
Msomi mzima anajikomba badala ya kueleza ukweli na uhalisia wa siasa mbovu zinazoendelea nchini.
Wasomi kama akina Dk Sengondo Mvungi hawatatokea tena. Hawakujikomba wala kujipendekeza.i
Dk Denis kusifia uovu wote wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.