Recent content by Idugunde

  1. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Je, kesi za ugaidi ziawafanya Watanzania kupinga uovu?

    Ugaidi ni tuhuma kali sana na ndio maana ni kosa ambalo linapingwa na kudhibitiwa kimataifa. Gaidi wa Tanzania ni gaidi wa dunia nzima. Kama ndio hivi, je Watanzania wanavyokamatwa kwa ugaidi. Watakata moyo mapambano dhidi ya uovu?
  2. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Uovu wa viongozi wa CCM aliousema Polepole ndio sababu ya CHADEMA kukubalika kama chama cha ukombozi.

    Ni viongozi waovu ambao Polepole aliweka wazi kuwa kutoa uhai wa mtu waweze kukamilisha ufisadi wao ni jambo la kawaida kama kunywa chai. Wanaona kutumia dola kunyanyasa raia wa dola huru ya Tanganyika ni umwamba wa kisiasa. CHADEMA imebadikika haitaki kuwa kibaraka wa wanaCCM waovu...
  3. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa huko ulipo unapata usingizi? Bado mil 7 CHADEMA wafikishe mil 245.

    Alizuia wafanyabiashara wasiichangie CHADEMA👇 Soma Msigwa: Inasikitisha sana, yaani wanahamasisha Vijana watoe pesa walizonazo wawapatie pesa wao waweke mifukoni mwao
  4. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu George Masaju mchukulie hatua za kinidhamu Hakimu wa mahakama ya Mwanzo aliyemsomea mashitaka mhadhiri na kumpeleka mahabusu kimakosa.

    Kwanza kabisa huyu Hakimu amekuchafua wewe na mhimiri mzima wa Mahakama. Inaonyesha wazi mahakama sio chombo huru. Japokuwa ni wazi kuwa hakipo huru. Lakini kitendo cha hakimu huyu kumsomea shtaka ambalo hana mamlaka nalo kisheria ni kuidhalilisha mahakama. Sijajua ni mahakama gani ila kwa...
  5. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa na wenzako. Kuweni makini mnaweza kufa kwa kihoro

    Hakuna chama kinachoungwa mkono zaidi ya Chadema kwa sasa.👇
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Polepole alisema wazi hawa watu ni waovu.
  7. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Pascal anamsimamo mkali sana. Ndio maana WanaCCM wenzake hawampi teuzi

    Najidanganya vipi?
  8. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Pascal anamsimamo mkali sana. Ndio maana WanaCCM wenzake hawampi teuzi

    Sikiliza kwa umakini namna anavyochambua uongo na madudu ya Tume ya Jaji Chande👇
  9. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa, wafanyabiashara na wamachinga wanaichangia CHADEMA sababu wanataka ukombozi. Sio kwamba hawajitambui

    Kwanza kabisa umeongea Pumba. Kwamba CHADEMA inawarubuni wafanyabiashara ili waichangie badala ya kutunisha mitaji yao. Kumbuka kuwa watu wanatambua kuwa wewe na wanaCCM wachache mnakula keki ya taifa. Hamuwajali Watanganyika. Watanganyika wanataja CCM iondoke madarakani. Na wameishaichoka...
  10. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka na degree ya Patrobas Katambi. Kwenye Penal code hakuna kifungu kinachokataza ukahaba

    Kwa hiyo ndio awe kilaza?
Back
Top Bottom