Mie nina mradi wa kutunza mazingira, natengeneza mkaa unaotokana na taka ngumu. hivyo nimechagua kwenda kujifunza mbinu nzuri na zakisasa za uzaklishakji wa mkaa ili kulinda mazingira. lengo ni kujifunza wenzetu wanatunza vipi mazingira. ahsante.
Mimi ni kijana nilie amua kujiajili kwa kuanzisha mradi wa kutengeneza nishati ya mkaa mbadala, mkaa huu unatokana na taka ngumu.Nimeanzisha kiwanda hiki na kushirikisha vijana wenzangu na kutengeneza kikundi jina GREEN POWER GROUP Mkaa huu nimeupatia jina la "MKAA WA IDRIS" kiwanda cha mkaa huu...
Naliwakilisha Taifa kwenye shindano la kuizunguka dunia kwaajili ya kujifunza mambo yakimaendeleo na mazingira. mshindi kutoka bara la Africa ataungana na wenzie kwa miezi 5 kuizunguka dunia. nipo pekeyangu katka shindano hili. #faces2hearts
gusa link chini kunipigia kura ili niweze kushinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.