Habarini za sasa wakuu. Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 nimemaliza shahada yangu udsm katika fani ya kilimo, mali asili, uchumi na biashara mwaka huu. Nimekuja kwenu kuomba msaada wa yoyote atakae kuwa na connection au sehemu nayoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.