Recent content by Ibrahim Shukran Aloyce

  1. I

    DOKEZO Responded Chuo cha IFM hakijatoa vyeti vya Wahitimu wa 2023/2024 na hakuna maelezo ya kueleweka

    Hii ingependeza pia ikapandishwa kwenye kurasa rasmi za Jamii Forum zenye wafatiliaji wengi kama vile Instagram ili kuweza kuwasaidia wahitimu kwa haraka na kuwafikia wenye mamlaka mapema
  2. I

    KERO Responded Wanafunzi wa Chuo cha Takwimu Mashariki Mwa Afrika (EASTC) hatujapata malipo ya Fedha za Kujikimu wiki ya tatu sasa

    Kheri ya Kumbukizi ya kuzaliwa Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ----------------------X----------------- Ndg:Michael Musa Ollomi Katibu seneti umejielkeza vibaya na Unatuondolea hadhi wasomi juu ya ujumbe huu Aya za mwishoni kwa sababu zifuatazo 1...
  3. I

    KERO Responded Wanafunzi wa Chuo cha Takwimu Mashariki Mwa Afrika (EASTC) hatujapata malipo ya Fedha za Kujikimu wiki ya tatu sasa

    KUELEKEA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO: KWA NINI CHANGAMOTO ZA WANUFAIKA WA SAMIA SCHOLARSHIP KUPOTEZA VIGEZO, WENYE SIFA KUKOSA MIKOPO, NA UCHELEWESHAJI WA FEDHA ZA KUJIKIMU BADO HAZIJATATULIWA? wanafuika wa Samia Scholarship waliokosa sifa (ambao hawajafikisha GPA ya 3.8) mpaka sasa hawajajua...
Back
Top Bottom