Recent content by IBRAHIM ROJALA

  1. I

    SoC03 Miradi ya kimkakati wilayani Chato na hoja ya Katiba Mpya

    Juni 2020 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha mabadiliko ya sheria mbalimbali ikiwemo muswada wa sheria ya kuwapa kinga viongozi wakuu wa nchi akiwemo Rais na makamu wake,Jaji Mkuu pamoja na Spika na naibu wake ambao ilielezwa kwamba hawapswi kushtakiwa wakiwa madarakani na...
  2. I

    SoC02 Wanawake na mitandao, leo kwake kesho kwa dada yako au mpenzi wako

    Kwa wanaokubali kwa hiyari yao nadhani ni kutokana na tamaa ya fedha au vitu fulani kama nilivyoandika ndani ya makala hii.
  3. I

    SoC02 Wanawake na mitandao, leo kwake kesho kwa dada yako au mpenzi wako

    Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara zinazofanya vizuri katika matumizi ya mitandao ya kijamii. Ripoti ya takwimu za robo ya pili ya mwaka 2020 za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilionesha watumiaji wa intaneti wameongezeka hadi kufikia milioni 27.1 mwezi Juni...
  4. I

    SoC02 Kilimo cha umwagiliaji hakikwepeki!

    shukran sana Sebastian,nitalipitia na kuacha maoni yangu hapo
  5. I

    SoC02 Kilimo cha umwagiliaji hakikwepeki!

    Shukrani kwa nyongeza yako mkuu.
  6. I

    SoC02 Kilimo cha umwagiliaji hakikwepeki!

    Ahsante sana,sasa hapo nadhani ni jukumu la serikali kuangalia namna inavyoweza kushirikiana na wadau wa sekta hii muhimu ili kushusha gaharama au pengine kuweka ruzuku katika baadhi ya vifaa kulingana na mahitaji katika eneo husika.
  7. I

    SoC02 Kilimo cha umwagiliaji hakikwepeki!

    Shukrani sana kaka,karibu andiko lingine linakuja hivi karibuni
  8. I

    SoC02 Kilimo cha umwagiliaji hakikwepeki!

    Nchini Tanzania idadi kubwa ya wakazi wake wanajihusisha na shughuli za kilimo hali inayoifanya sekta hii kuwa uti wa mgongo kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Mchango wa Kilimo kwa Uchumi Kilimo kimeendelea kuwa miongoni mwa sekta ambazo zimekuwa na mchangi mkubwa kwa pato la...
  9. I

    SoC01 Dhana ya Ndoa: Jinamizi hatari kwa Ustawi wa Wanawake na Hatma ya watoto

    Shukrani Maximizer,jitahidi ufunge ndoa na shemeji ili usije kumdhulumu.
  10. I

    SoC01 Dhana ya Ndoa: Jinamizi hatari kwa Ustawi wa Wanawake na Hatma ya watoto

    Ondoka, nenda kwenu, mwanamke gani wewe, beba mizigo yako na watoto wako, sipendi ujinga! Haya ni baadhi ya maneno ambayo yamekuwa ni kawaida kwa wanawakewngi kuyapokea kila uchwao,iwe mijini au vijijini hapa nchini. Tafsiri rahisi ya maneno hayo hayo huwa ni ndoa imevunjika, kidudu mtu...
  11. I

    SoC01 Dhana ya Ndoa: Jinamizi hatari kwa Ustawi wa Wanawake, hatma ya Watoto

    Na Ibrahim Rojala Ondoka,nenda kwenu,mwanamke gani wewe,beba mizigo yako na watoto wako,sipendi ujinga! Haya ni baadhi ya maneno ambayo yamekuwa ni kawaida kwa wanawakewngi kuyapokea kila uchwao,iwe mijini au vijijini hapa nchini,Tafsiri rahisi ya maneno hayo hayo huwa ni ndoa...
Back
Top Bottom