Recent content by IBRAHIM jose

  1. IBRAHIM jose

    Nikichaguliwa chuo afu nisiende kuripoti!

    Kwanin usiende kuripot wizy
  2. IBRAHIM jose

    Msaada yahusu maombi ya uhamisho

    Wakuu naombeni msaada hapa,ninataka kuomba uhamisho kutoka chuo cha private kwenda cha government, kwa diploma, inawezekana?? Na pia nikishaomba uhamisho nitakwenda kuripoti chuo nilichopangiwa au ninakaa nyumbani nikisubiri uhamisho??.naombeni nisaidieni hapa wakuu,
  3. IBRAHIM jose

    Msaada.

    Naomba kueleweshwa,maana ya ordinary diploma in primary education(in service) na ordinary diploma in primary education (pre service)
  4. IBRAHIM jose

    NACTE Mungu anawaona

    Ivi mkuu,hata Mimi nataka kuhama chuo,ivi ukishatuma maombi ya kuhama chuo ni kwamba unakaa nyumbani kusubiria uhamishwe au inakuwaje hapo.
  5. IBRAHIM jose

    Msaada.

    Ndio hawajaonyesha course uoa
  6. IBRAHIM jose

    Msaada.

    Kwenye profile wanaonyesha kabisa. Uoa
  7. IBRAHIM jose

    Msaada.

    Naombeni kueleweshwa,NACTE kwenye profile yangu wameniambia nimechaguliwa arusha university kwa diploma,sasa naangalia majina ya waliochaguliwa pale sijioni mimi
Back
Top Bottom