Kuna siku niliongea kuahusu 1xbet kushare exp nilionekana waajabu sana ila nili won two tyms na sikulipwa 1xbet kwa sasa yakishamba sana na wamekuja kutupiga hela zetu anaendelee kwa ajili ya options aendelee ila kwangu mimi naona inatosha narudi kwenye vimeo vyangu ambavyo vimesajili hapo bongo
Nilichotaka sio mawasiliano nao kaka nilichotaka mimi ni expirence ya hili jambo kama kuna watu limeshawahi kuwatokea mbona ubongo wako finyu hakuna asiye jua kama kuna mawasiliano ila watu wakija kuuliza sio kama hawajui ila wanataka kujua kama je kuna watu limewatokea zaidi unawaza karibu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.