Habari zenu wapendwa katika bwana, Napenda kufahamu zaidi kuhusu TaESA
1. Baada ya registration kukamilika ni process gani zinafanyika mpaka unachaguliwa, namanisha kunakufanya interview au amna? Kwamba ukishajisajili kwenye nafsi ako then unasubria kupata bahati ya kuchaguliwa au inakuwaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.