Recent content by Ibrab

  1. I

    Utapeli unaendelea kushamiri mtandaoni ila hatuoni hatua kali zikichukuliwa kwa wahusika

    Kwakweli nachukia sana matangazo ya kitapeli yanayoendelea kwenye mitandao na haswa mtandao wa Facebook. Wapo wanaojifanya ni waganga wa jadi. Masheikh wa visomo na hutengeneza video za matangazo na kuzilipia Facebook kwa ajili ya KUTAPELI. Hali hii inapelekea watu kupatwa na msongo mbaya sana...
Back
Top Bottom