Tata magali yenu ni mazuli ila kwa uzoefu wangu magali ya tata yana udhaifu wa injini ndogo bodi kubwa matokeo take yanakosa nguvu,nafikili walitaka kupunguza ulaji wa mafuta, coasta,fuso,scania n.k wameweka injini kubwa kuipa gali nguvu na bado ulaji wa mafuta ni mdogo,wahandisi wa tata bado...
Huo mfumo wao wa kumfanya mahindi aanze kubahatisha namna unaonyesha tu kuna walakini, ukipigiwa sim we ni mahindi iweje uanzekuambiwa chagua namna, kuchagua namba ulishachagua ukacheza ukashinda ndo ukapigiwa sim.
Nawasifu biko ukipigiwa sim unatangazwa mshindi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.