Recent content by Ibra68

  1. I

    Car4Sale Magari mapya ya Kampuni ya Tata yanauzwa

    Tata magali yenu ni mazuli ila kwa uzoefu wangu magali ya tata yana udhaifu wa injini ndogo bodi kubwa matokeo take yanakosa nguvu,nafikili walitaka kupunguza ulaji wa mafuta, coasta,fuso,scania n.k wameweka injini kubwa kuipa gali nguvu na bado ulaji wa mafuta ni mdogo,wahandisi wa tata bado...
  2. I

    Mwenye Ushahidi au Aliyewahi Kushinda BIKO na TATU MZUKA n.k atuaminishe hapa

    Huo mfumo wao wa kumfanya mahindi aanze kubahatisha namna unaonyesha tu kuna walakini, ukipigiwa sim we ni mahindi iweje uanzekuambiwa chagua namna, kuchagua namba ulishachagua ukacheza ukashinda ndo ukapigiwa sim. Nawasifu biko ukipigiwa sim unatangazwa mshindi
  3. I

    Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

    Hapa kuna kitu kinaitwa kansa ya tumbo ndo kinafananishwa na vidonda vya tumbo
Back
Top Bottom