Kama umeoa basi nadhani mke wako ni mchafu sio mstaarabu,mna ugomvi na mke wako wa mara Kwa mara,una mambo ndoto nyingi za kukamilisha lakini unashindwa kwasababu Haina uwezo,maisha yako yaweza kuwa ni mazuri lakini unamiss baadhi ya vitu unavyovihitaji,Haujiamini. Hakikisha usiwe na mpenzi...
Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15.
Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store.
Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye...
Niko Mwanza na Nina wazo kama la kwako,To be honest mi ni mtumishi wa umma lakini Huwa naamini sana katika biashara ya hiace. Nimeamua kuchukua mil 15 ninunue used hapa hapa Mwanza, niupgrade driving licence yangu Ili nikiinunua niiendeshe mwenyewe Kwa muda usiopungua miezi mitatu, konda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.