Recent content by Ibojr

  1. Ibojr

    SoC02 Tanzania yangu

    TANZANIA YANGU 1. ~Mkumbushe mwanao kuwa WIVU utamfanya amchukie Mtu ambaye alipaswa ajifunze kutoka kwake..✍🏻 2. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Msaada sio Haki yake asipopewa Asinung'unike atafute Chake...✍🏻 3. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Tumeona mazuri kwa watu waliokuwa wakiitwa wabaya na Tumeona...
  2. Ibojr

    SoC02 Mafanikio

    Nashukuru sana kiongoz
  3. Ibojr

    SoC02 Mafanikio

    MAFANIKIO KAMA ilivyo ada kila mtu anahitaji kuwa na mafanikio katika maisha yake. Vivyohivyo hata mimi ninatamani kuwa miongoni mwao. Swali la kujiuliza ni kwanini tuliowengi hatufanikiwi na wachache kati yetu ndio hufanikiwa? Inakupasa kujiuliza kwa makini nini ufanye ili na wewe ufanikiwe...
Back
Top Bottom