Recent content by Ibn Algherey

  1. I

    KERO App za Mikopo zinatudhalilisha na kuvunja Sera ya Faragha, tukimbilie wapi kupata haki zetu?

    Hizi App zimekuwa ni changamoto kwa jamii hasa unapopata shida ukikopa kwao ujue umejiingiza kwenye mtihani Moja ya changamoto zinazoikumba jamii au watu wanaokopa ni kulazimishwa kulipa deni kabla ya wakati wake na huwa wanatumia vitisho vingi sana hata ukiwaelewesha juu ya tarehe sahihi ya...
  2. I

    KERO Changamoto ya barabara kutoka Mlalo - Lushoto kipindi hiki cha mvua

    Hiyo barabara imefungwa kwa sasa lakini hakuna kinacho endelea iko barabara ya mchepuko juzi ilitaka kuuwa watu kutokana na ufinyu wa hiyo barabara
  3. I

    KERO Changamoto ya barabara kutoka Mlalo - Lushoto kipindi hiki cha mvua

    Kuna changamoto kubwa ya barabara inayotoka Mlalo mpaka Lushoto hususani katika kipindi hiki cha mvua barabara zina mashimo makubwa nyingine hazipitiki kabisa kwa sababu ya matope ni wiki ya pili sasa, hili tatizo linasababisha nauli kupanda na wananchi kuto mudu hizo gharama, nauli mwanzo ili...
Back
Top Bottom